Google AdSense

Breaking News

Chilunda anawatanguliza Azam Fc kwa goli 1


Dakika ya 3 Azam wameandika goli la kuongoza kupitia mshambuliaji wao Shabani Idd Chilunda akimalizia pass nzuri ya Brus Kangwa. 
Licha ya goli hilo pia Azam Fc wana ones wanaonesha mchezo mzuri wakiongoza posession 

No comments