Google AdSense

Breaking News

Jikwamue kimaisha kwa kilimo cha papai




KUWA MILLIONEA KWA MIEZI MITATU TU.

Kijana stuka acha kulia na kusingizia hali ni ngumu wakati hutaki kujituma kama unataka fursa ungana na vijana wengi ambao wameshatoka kimaisha kupitia mradi wa kilimo cha mapapai kwani ni rahisi sana ni kama unaokota ela tu 
pata miche ya kisasa ya papai (Malkia F1)
miche hii imethibitishwa na wataalam wengi wa ndani na nje ya nchi kuwa inauvumilivu mkubwa
huanza kuvunwa yakiwa na umri kati ya miezi 3-6 kulingana na ulivyoihudumia nakuendelea kutoa matunda  mfululizo bila kukoma
kila mpapai hubeba matunda yasiyopungua 85 mpaka 110
Nyama yake ni nyekundu na ni matamu sana
piga hesabu kama mpapai mmoja utabeba mapapai 100 alafu ukaenda kuuza kwa bei ya jumla 1000@1 utakuwa na Tsh 100,000/= toa gharama za kuihudumia kama 20,000/= hii ni hesabu ya juu ubaki na elfu 80 zidisha kwa idadi ya mipapai ambayo unayo tuseme una mipapai 50 zidisha kwa elfu 80 utapata mill 4 kumbuka hii ni hesabu ya chini kwani gharama ya kulea mche mmoja mpaka unaanza kutoa matunda haizidi elfu 5
Tunapatikana Tabata Segerea masaa 24 piga
simu namba 0789214978  utahudumiwa kwa mikoani tunakutumia miche kwa njia ya mabasi mpaka ulipo kwa gharama zako tunahakikisha usalama wa miche itakufikia ikiwa hai kwani tunajua namna ya kuitunza ikae muda mrefu bila kusinyaa
karibu sana kilimo chenye manufaa makubwa na chenye uwezo wa kubadili  maisha yako
Ahsante:-