Google AdSense

Breaking News

Tazama magoli yote ya Azam vs Yanga VPL

Azam vs yanga  (2-1)

Mchezo uliokuwa ukisubiriwa kwa hamu na mashabiki wa mpira Tanzania kati ya Yanga na Azam Fc  umemalizika hivi punde huku Yanga wakiibuka na ushindi wa magoli 2 kwa 1 

Magoli yakifungwa na Chirwa dk ya 30 pamoja na Gadiel Michael dk 44 huku upende wa Azam goli likifungwa na Shabani  Idd Chilunda 

Mtibwa vs Mbeya city matokeo yamekwenda kwa 0 - 0

Huku  Mwadui akitoka sare ya 2 - 2 dhidi ya Njombe Mji 

No comments