Google AdSense

Breaking News

Half time Yanga 2 Azam 1



Yanga wameenda mapumziko kwa kifua mbele kufanikiwa kufunga magoli mawili kwa moja 

Wafungaji ni 
Chirwa dk 30
Mbaga  dk 45
Huku Shabani Idd Chilunda akitangulia kufunga goli pekee la Azam

No comments